.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akizindua mradi wa maji wa Butimba mkoani Mwanza tarehe 20 Juni, 2025.
Mradi huu una uwezo wa kuzalisha lita milioni 48 za maji kwa siku na
kuweza kuhudumia awananchi wapatao 450,000 katika maeneo ya Nyegezi,
Mkolani, Buhongwa, Lwanhima, Fumagila, Sahwa, Igoma, Kishiri na
Nyamhongolo jijini Mwanza
Jun 20, 2025
RAIS DK. SAMIA AZINDUA MRADI WA MAJI WA BUTIMBA JIJINI MWANZA, LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇