FEATURED
Your Ad Spot
Dec 10, 2025
WAZIRI SIMBACHAWENEAWASHUKURU WATANZANIA KWA KUONESHA UTULIVU NA UZALENDO KUILINDA AMANI YA TAIFA
CCM Blog INVITEE
December 10, 2025
0
Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, George Simbachawene amewashukuru Watanzania kwa kuonesha utulivu na uzalendo katika kuilinda ama...
Dec 9, 2025
MIAKA 64 YA UHURU: TBN YASEMA AMANI KWANZA, UJENZI WA TAIFA DAIMA
CCM Blog INVITEE
December 09, 2025
0
Leo Desemba 9, tunapoadhimisha miaka 64 tangu Taifa letu lipate Uhuru, Tanzania Bloggers Network (TBN) inawapongeza Watanzania wote kwa ku...
Dec 6, 2025
CCM HAITASITA KUWACHUKULIA HATUA ZA KISHERIA WATUMISHI WAZEMBE- KIHONGOSI
CCM Blog INVITEE
December 06, 2025
0
𝘼𝙨𝙚𝙢𝙖 𝘾𝘾𝙈 𝙞𝙣𝙖 𝙬𝙖𝙟𝙞𝙗𝙪 𝙬𝙖 𝙠𝙪𝙛𝙪𝙖𝙩𝙞𝙡𝙞𝙖 𝙪𝙩𝙚𝙠𝙚𝙡𝙚𝙯𝙖𝙟𝙞 𝙬𝙖 𝙞𝙡𝙖𝙣𝙞 𝙮𝙖𝙠𝙚 𝙠𝙬𝙖𝙠𝙪𝙬𝙖 𝙨𝙚𝙧𝙞𝙠...
TANZANIA YAZITAKA TAASISI, MATAIFA YA NJE KUTAMBUA KUANZISHWA KWA TUME YA UCHUNGUZI
CCM Blog INVITEE
December 06, 2025
0
Serikali ya Tanzania imeeleza kuwa imepokea na kuyazingatia matamko ya umma yaliyotolewa nyakati mbalimbali na Wadau wa maendeleo na Nchi ...
MBUNGE MATIKO ATOA LA MOYONI KWA VIJANA
CCM Blog INVITEE
December 06, 2025
0
Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko amewataka watanzania kuacha kudanganyika kushiriki matendo maovu ama vurugu bali waungane kulijenga T...
NAPE ATOA SOMO KWA VIJANA
CCM Blog INVITEE
December 06, 2025
0
Vijana Mmemsikia Kaka Nape Nnauye? Ujumbe wa Nape Nnauye - Mbunge wa Jimbo la Mtama kwa vijana wanata...
Dec 5, 2025
JESHI LA POLISI LAPIGA MARUFUKU MAANDAMANO DESEMBA 9
CCM Blog INVITEE
December 05, 2025
0
Jeshi la Polisi nchini Tanzania limepiga marufuku maandamano yanayohamasishwa katika mitandao ya kijamii kwa kuyaita maandamano ya amani y...
NAMPONGEZA RAIS SAMIA KWA KUTOA HOTUBA KWA UWAZI, UJASIRI NA UCHUNGU - DKT. MAJULE
CCM Blog INVITEE
December 05, 2025
0
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) Mkoa wa Dodoma, ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalumu wa mkoa huo, Dkt. Neema Majule akitoa ne...
CCM PWANI WAMPONGEZA RAIS KWA HOTUBA YENYE MASLAHI MAKUBWA KWA TAIFA
CCM Blog INVITEE
December 05, 2025
0
Katibu wa Siasa ,Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Pwani Dkt. David Mramba ameipongeza kwa dhati hotuba ya Mhe.Rais ...
Dec 4, 2025
TUFANYE KILA LIWEKANALO TANZANIA KUREJEA TENA KATIKA NAFASI YAKE KUWA KIONGOZI KATIKA AMANI , UTULIVU NA MAENDELEO - MIGIRO
CCM Blog INVITEE
December 04, 2025
0
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi, Dkt. Asha-Rose Migiro amefungua Jukwaa la Wanawake 2025, katika Ukumbi wa Mikutano wa Jak...
Dec 3, 2025
INSTAGRAM WAFUNGA AKAUNTI ZA MANGE KIMAMBI
CCM Blog INVITEE
December 03, 2025
0
Mtandao wa Instagram (Meta) umefunga rasmi kurasa za mwanaharakati wa mtandaoni Mange Kimambi leo Desemba 3, 2025. Akaunti zilizofungiwa n...
RAIS SAMIA AFANYA MAZUNGUMZO NA HUGO SWIRE WA JUMUIYA YA MADOLA
CCM Blog INVITEE
December 03, 2025
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Naibu Mwenyekiti wa Biashara ya Jumuiya y...
Dec 2, 2025
WATOTO 125 KUNUFAIKA NA MSAADA WA MATIBABU YA MOYO KUTOKA NMB
CCM Blog INVITEE
December 02, 2025
0
Benki ya NMB tayari imetoa nusu ya TZS bilioni 1 ilizoahidi mwaka jana kwa ajili ya kuiwezesha Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kuto...
SERIKALI HAIPO TAYARI KUAMRISHWA, KUPEWA MASHARTI AU KULEKEZWA
CCM Blog INVITEE
December 02, 2025
0
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂 𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻, amesema S...
Dec 1, 2025
SERIKALI YAENDELEA KUKUTANA NA VIONGOZI WA DINI, TEC, KIMILA - DKT NCHEMBA
CCM Blog INVITEE
December 01, 2025
0
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema serikali imeendelea kufanya mikutano na viongozi wa taasisi mba...
Nov 30, 2025
VIONGOZI WA DINI WANAOTUMIWA NA MATAIFA YA MAGHARIBI KUIGAWA AFRIKA: JINAMIZI LINALOITAFUNA AFRIKA NA ONYO KWA VIJANA WA TANZANIA
CCM Blog INVITEE
November 30, 2025
0
Kwa muda mrefu tumeshuhudia bara letu likipitia misukosuko ya kisiasa, migawanyiko ya kijamii na machafuko ambayo mara nyingi yanachochewa k...
DKT. SAMIA ATETA NA DKT. MIGIRO
CCM Blog INVITEE
November 30, 2025
0
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Kati...
Nov 29, 2025
SERIKALI YATUMIA BILIONI 17 KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA YA KINYWA NA MENO
Na Mwandishi Maalum, TDA, Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Afya imewekeza kiasi cha Sh. Bilioni 17 kwa kununua vifaa vinavyohitajika katika...
Post Top Ad
Your Ad Spot