LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 11, 2025

RAIS DK. SAMIA KUZINDUA HARAMBEE YA KUCHANGIA FEDHA ZA KAMPENI ZA CCM, LEO JIJINI DAR ES SALAAM



 Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akizungumza na Wahariri na Waandishi Waandamizi wa Vyombo vya Habari leo Jumatatu Agosti 11, 2025 katika Ofisi Ndogo ya CCM Makao Makuu, Lumumba, jijini Dar es Salaam, kuhusu 
harambee ya kuchangia kampeni za chama hicho itakayozinduliwa rasmi kesho katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam, ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mwenyekiti wa CCM, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Harambee hiyo inalenga kukusanya Sh. Bilioni 100 kwa ajili ya maandalizi ya kampeni, ikiwemo gharama za magari, mabango, mafuta, fulana na kanga.

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages