Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia na kuhitimisha shughuli za Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 27 June, 2025. Kulia ni Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson.
Mansoor akijadiliana jambo na mmoja wa wageni waalikwa.Wakiwa wamesimama wakati Rais Samia akiingia kulihutubia Bunge huku akiongozwa na Spika Tulia Ackson.
Mansoor akiwa makini kufutilia hotuba ya Rais Samia.
Rais Samia akitoka bungeni baada ya kulihitimisha.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇