LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 10, 2025

DKT. NCHIMBI APATA BARAKA ZA MAMA MZAZI

 

Mama mzazi wa Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi akimpa baraka mwanaye muda mfupi kabla ya mgombea huyo mwenza kwenda kuungana na mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Samia Suluhu Hassan, kuchukua fomu za kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, tarehe 9 Agosti 2025, katika Tume Huru ya Uchaguzi (INEC).

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages