Aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika na Mkuu wa Utawala Ofisi ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar Es Salaam, Ndugu Salehe Mbwana Muhando, leo Jumatatu Juni 30,2025 amechukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Kilindi, mkoani Tanga, kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mkuu ujao.
Jun 30, 2025
KADA MUHANDO AJITOSA UBUNGE KILINDI
Tags
featured#
habari picha#
Share This
About Blog Updates👇🏻
habari picha
Tags
featured,
habari picha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇