Makao Makuu ya Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara, ikipendeza baada ya kuwekewa taa za kuongozea magari (Traffic Lights) kama inavyoonekana katika video clip hii iliyopigwa hivi karibuni katika mji huo maarufu katika mikoa ya kusini. Ni wilaya chache nchini zimewekwa taa za aina hiyo kwa lengo la kurahisisha uongozaji wa vyombo vya usafiri pamoja na wananchi.
Mdau, nakuomba uendelee kuangalia kupitia clip hii ya video, Traffic Lights zinavyofanya kazi katika mji huo....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇