LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jul 17, 2025

MBOWE AHUDHURIA UZINDUZI WA DIRA YA TAIFA 2050

. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti Mstaafu wa Chadema Mhe. Freeman Mbowe mara baada ya kuzindua Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete (JKCC) Jijini Dodoma tarehe 17 Julai, 2025.

Mbowe akipiga picha na Rais Samia.


Mbowe akihudhuria sherehe hzizo za uzinduzi wa Dira.
 

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages