Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, aliongoza Kikao cha Kamati ya Usalama na Maadili ya Chama, kupitia na kuchuja majina ya wagombea Jijini Dodoma, leo Julai 28, 2025, saa 8 usiku.
Your Ad Spot
Jul 28, 2025
KAMATI YA USALAMA NA MAADILI CCM YAKESHA KUCHUJA WAGOMBEA LEO JULAI 28, 2025
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇