LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Feb 24, 2020

MKAPA AFURAHIA UAMUZI WA KUIBINAFSISHA BENKI YA NMB

  Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Mhe. Benjamin Mkapa, akimkabidhi kitabu  Kaimu Mkurugenzi wa Benki ya NMB-  Ruth Zaipuna wakati wa hafla ya kutambulisha na kutia saini kitabu chake iliyofanyika jijini Mwanza.
 Kaimu Mkurugenzi wa Benki ya NMB - Ruth Zaipuna akitoa mada kuhusu ubinafsishaji wa benki hiyo wakati wa hafla ya utambulisho wa kitabu cha 
"My Life, My Purpose" kilichoandikwa na Mhe. Benjamin Mkapa, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu  Mhe. Benjamin Mkapa katika picha ya pamoja na uongozi wa Benki ya NMB.

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages