Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani Zainabu Kawawa (kushoto) akimkabidhi vitambulisho 1910 vya Wajasiliamali kwa Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Chalinze Zainabu Makwinya ili akavigawe kwa wananchi wa halmashauri hiyo.
Tukio lililofanyika katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo ambapo vitambulisho hivyo vinatarajia kuingiza shilingi milioni 38, 200,000/- ambapo kitambulisho kimoja kinagawiwa kwa wananchi kwa shilingi 20,000/-. (Picha na Scola Msewa, Bagamoyo)
Jun 2, 2020
DC ZAINABU KAWAWA AGAWA VITAM ULISHO VYA WAJASILIAMALI BAGAMOYO
Tags
featured#
Habari za Kijamii#
Share This

About CCM Blog
Tags
featured,
Habari za Kijamii
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇