Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt,Samia Suluhu Hassan akitembelea Makumbusho ya Vita ya Majimaji Songea Mkoani Ruvuma leo September 23,2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt,Samia Suluhu Hassan akiweka silaha za jadi kwenye mnara wa mashujaa alipotembelea Makumbusho ya Vita ya Majimaji Songea Mkoani Ruvuma leo September 23,2024.
Akivishwa mgololeRais Samia akitoa heshima katika kaburi la waliokuwa mashujaa wa Vita vya Majimaji
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇