May 15, 2024

CHATANDA AIKUMBUSHA JAMII JUU YA UMUHIMU WA MALEZI BORA YA WATOTO NA FAMILIA

 

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT), Mary Chatanda akizungumza na vyombo vya habari Makao Makuu ya UWT, jijini Dodoma Mei 15, 2024 ambapo ameeleza changamoto mbalimbali zinazoikumba jamii katika malezi ikiwemo  masuala ya teknolojia na utandawazi na kukosekana kwa amani na upendo katika familia. Kushoto ni Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Dodoma, Neema Majule.

Wakiimba wimbo wa hamasa.


Wanahabari wakiwa kazini.
 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Pages