Dec 4, 2022

MJUMBE WA KAMATI KUU YA CCM RAIS DK. MWINYI AKILAKIWA NA NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA CHRISTINA MNDEME KUHUDHURIA KIKAO CHA KAMATI KUU, LEO


Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (CC) ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi  akilakiwa na Naivu Katibu Mkuu wa CCM Bara Christuba Mndeme alipowasili kushiriki Kikao Cha Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi, Chamwino Dodoma.


Kikao hicho kinaongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dk. Samia Suluhu Hassan. (Picha na Ikulu).

📆 04 Disemba 2022.

📍Chamwino, Dodoma.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Pages