LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 14, 2025

DKT. BITEKO AGAWA MAJIKO 11,000 YA UMEME KWA BEI YA RUZUKU KWA WAFANYAKAZI WA TANESCO

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Doto Mashaka Biteko (wa pili kushoto) akizindua programu ya utowaji  majiko 11,000 ya umeme kwa bei ya ruzuku kwa wafanyakazi wa Shirika la Umeme (TANESCO) katika hafla iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma Agosti 14, 2025.Kushoto 

Katika hafla hiyo, pia alimpatia jiko la aina hiyo Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule.






Dkt. Biteko akizungumza baada ya kugawa majiko hayo.
 Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga akizungumza wakati wa hafla hiyo.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages