Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango akilakiwa na Waziri wa Masuala ya Jinsia wa Malawi Patricia Kaliate (kulia) baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kamuzu uliopo Lilongwe Nchini Malawi, leo. Makamu wa Rais yupo nchini Malawi kumuwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) utakaofanyika tarehe 11-12 Januari 2022.
Jan 10, 2022
DK. MPANGO AWASILI NCHINI MALAWI
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This

About Bashir Nkoromo
DK. BITEKO: MAANDALIZI YA MKUTANO WA NISHATI WA WAKUU WA NCHI AFRIKA YAFIKIA ASILIMIA 95, UMEKUWA KIVUTIO DUNIANI
DK. NCHEMBA AAGANA NA BALOZI WA MAREKANI NCHINI, ASEMA TANZANIA INATHAMINI MCHANGO MKUBWA WA TAIFA HILO MATIKA MAENDELEO
MWENYEKITI WA ASASI YA SIASA, ULINZI NA USALAMA SADC-ORGAN RAIS DK. SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA DHARURA WA WAKUU WA NCHI NA ASASI HIZO, AKIWA IKULU YA TUNGUU, ZANZIBAR, LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇