Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango akilakiwa na Waziri wa Masuala ya Jinsia wa Malawi Patricia Kaliate (kulia) baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kamuzu uliopo Lilongwe Nchini Malawi, leo. Makamu wa Rais yupo nchini Malawi kumuwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) utakaofanyika tarehe 11-12 Januari 2022.
Your Ad Spot
Jan 10, 2022
DK. MPANGO AWASILI NCHINI MALAWI
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This
About CCM Blog
Kitaifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇