LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Dec 20, 2020

NAMBA ZA SIMU ZATOLEWA KUWASILIANA NA WANANCHI

   Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima pamoja na Naibu wake Dkt. Godwin Mollel wametoa namba za simu kwa ajili ya kupokea maoni, kero, ushauri au taarifa kutoka kwa wananchi. Wamesema lengo la kutoa namba hizo ni kwa ajili ya kurahisisha upatikanaji wa taarifa za ukweli kwa haraka ili ziweze kushughilikiwa.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages