LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jan 19, 2019

KAMATI YA UONGOZI YA CHAMA CHA MABUNGE NCHI WANACHAMA WAJUMUIYA YA MADOLA KANDA YA AFRIKA (CPA AFRICA REGION) YAKUTANA JIJINI DAR ES SALAAM

 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akisisitiza jambo mbele ya   Waandishi wa Habari mara baada ya kufungua kikao cha Kamati ya Uongozi ya Chama cha Mabunge nchi Wanachama wajumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA AFRICA REGION) Ofisi Ndogo za Bunge jijini Dar es Salaam. Kulia ni Spika wa Bunge la Kenya Mhe. Justin Muturi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo na wengine ni Wajumbe wa Kamati hiyo na kushoto ni Mhe. Deveena Boygah Mbunge wa Bunge la Mauritinia na Mjumbe wa Kamati hiyo.
 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akizungumza na Waandishi wa Habari mara baada ya kufungua kikao cha Kamati ya Uongozi ya Chama cha Mabunge nchi Wanachama wajumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA AFRICA REGION) Ofisi Ndogo za Bunge jijini Dar es Salaam. Kushoto kwake ni Spika wa Bunge la Kenya Mhe. Justin Muturi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo na wengine ni Wajumbe wa Kamati hiyo.
 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akifungua kikao cha Kamati ya Uongozi ya Chama cha Mabunge nchi Wanachama wajumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA AFRICA REGION) Ofisi Ndogo za Bunge jijini Dar es Salaam. Kulia kwake ni Spika wa Bunge la Kenya Mhe. Justin Muturi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo.
 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai  (kushoto) akizungumza na Spika wa Bunge la Kenya Mhe. Justin Muturi (kulia) kabla ya kuanza kwa kikao cha Kamati ya Uongozi ya Chama cha Mabunge nchi Wanachama wajumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA AFRICA REGION) katika Ofisi Ndogo za Bunge jijini Dar es Salaam.
  Spika wa Bunge la Kenya Mhe. Justin Muturi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya Chama cha Mabunge nchi Wanachama wajumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA AFRICA REGION) (kushoto) akizungumza na Wajumbe wa Kamati hiyo. Kulia ni Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai.
 Wajumbe wa Kamati ya Uongozi ya Chama cha Mabunge nchi Wanachama wajumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA) waliokaa katika picha ya pamoja. Waliosimama ni Sekretarieti ya Kamati hiyo.(PICHA NA BUNGE).

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages