Mar 17, 2025

TEHAMA YAWEZESHA NSSF KULIPA MAFAO NDANI YA SIKU 30


Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Masha Mshomba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari – MAELEZO jijini Dodoma Machi 17, 2025, ambapo ameelezea mafanikio lukuki ya mfuko huo, kuelekea maadhimisho ya miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan. 

Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa katika mkutano huo.

Maafisa wa NSSF wakijadiliana jambo.
 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MHARIRI 
BLOG YA TAIFA YA CCM
 0754264203

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Pages