LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 10, 2018

SERIKALI YA UGANDA YASHAURIWA KUZIDISHA JUHUDI ZA KIVITENDO KATIKA KUKUZA LUGHA YA KISWAHILI NCHINI HUMO

Serikali ya Uganda imeshauriwa kuongeza juhudi kwa ajili ya ufundishaji lugha ya Kiswahili kwa madaraja yote ya elimu nchini humo.
Hayo yamefikiwa katika mkutano ulioitishwa kwa lengo la kujadili njia za kukuza lugha ya Kiswahili kilichofanyika mjini Kampala, ambapo washiriki wameitaka serikali kutekeleza kivitendo utekelezwaji wa mipango yote katika uwanja huo.
Wanafunzi darasani nchini Uganda wakijifundisha lugha ya Kiswahili
Hii ni baada ya kubainika kwamba lugha hiyo inazidi kukubalika na kukita mizizi katika nchi mbalimbali huku ikiwa ni yenye kuvutia.
Tujiunge na mwandishi wetu wa jijini Kampala, Kigozi Ismail kwa taarifa kamili……………/

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages