Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Oran Njeza ameipongeza Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa kazi kubwa wanayoifanyakatika ukaguzi huo wa ndani ya Nchi kiasi hata cha kupatiwa kazi hata na Umoja wa Mataifa.
Njeza ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya Vijijini akitoa pongezi hizo kwa CAG Kicheere (kulia)
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇