Mkuu wa Mkoa wa Katavi MHE. Juma Homera anatarajiwa kuwa Mgeni rasmi katika kuongoza Matembezi ya Uhamsishaji Machi 14, 2020 kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Afya ya Kinywa na Meno Duniani, 2020 yatakayo anzia na kumalizikia: Viwanja vya Shule ya Msingi Kashato Mpanda Katavi kuanzia 12.45 ASubuhi 12.00 jioni.
Ambapo Maadhimisho hayo yatafanyika Machi 20, 2020 Kitaifa Mkoani humo na Mgeni Rasmi ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto. Ummy Mwalimu (MB).
Mar 11, 2020
MKUU WA MKOA KATAVI KUONGOZA MATEMBEZI YA UHAMASISHAJI
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This
About khamisimussa77@gmail.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇