LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jun 11, 2026

MWANYIKA AIKUMBUSHA SERIKALI UJENZI WA BARABARA ZA NJOMBE VIJIJINI

 


Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika ameihoji Serikali bungeni Juni 11, 2026 kwamba Serikali imefikia wapi mpango wa kutenga fedha za ujenzi wa barabara katika vijiji vilivyopo majimbo ya mjini ilivyo Jimbo la Njombe Mjini? na kujibiwa na Naibu Waziri wa TAMISEMI, Dkt. Festo Ndugange.

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages