LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jan 29, 2026

RAIS SAMIA AMELITENDEA HAKI ENEO LA UVUVI ILEMELA - KAFITI

 Mbunge wa Ilemela, Kafiti Kafiti amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuifungua Tanzania hivyo kuvutia wawekezaji wengi kuja nchini na kulifanya Taifa kupiga hatua kubwa za kimaendeleo. Kwa upande wa sekta ya uvuvi ameitendelea haki Ilemela.

Pamoja na mambo mengine, Kafiti ametoa pongezi hizo leo Januari 29, 2026, bungeni Dodoma alipokuwa akichangia mjadala wa hotuba ya Rais Samia aliyoitoa wakati akilifungua Bunge Novemba 14, 2025.



 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA -0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages