LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jan 3, 2026

CHATANDA AFIKA KUMFARIJI MWENYEKITI WA UWT IRINGA

 Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania (UWT), Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) ashiriki Mazishi ya Maria Peter Mgongolwa ambaye ni Mama Mdogo wa Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Iringa, Ndg. Zainab Mwamwindi aliyefariki Dunia tarehe 31 Disemba, 2025, na kuzikwa   Januari 3, 2026, katika Kijiji cha Ulanda Mkoani Iringa.


Bwana Ametoa na Bwana ametwaa Jina lake lihimidiwe, Amen.


Chatanda (Kushoto) akimfariji Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Iringa, Mwamwindi.
Akisalimiana na waombolezaji.
Akishiriki kwenye msiba huo.


Akitoa neno la faraja kwa wafiwa.

 

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages