LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 10, 2025

DKT. SAMIA AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA HAYATI NYERERE

 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan katika matukio tofauti ya picha alipozuru kaburi la Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Butiama Mkoani Mara akiwa kwenye Kampeni Za uchaguzi Mkuu Mkoani humo leo October 10,2025.















 

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages