Maelfu ya wananchi wamejitokeza kwa wingi kwenye Uwanja wa Mwenge, Butiama mkoani Mara, kuthibitisha kuwa wao ndiyo waliomlea Baba wa Taifa Hayati Mwl. Julius Nyerere ambaye ni sehemu muhimu ya waasisi wa ukombozi Taifa hili na uundwaji wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) hivyo leo wamepania kuonesha hadhi hiyo ikiwa ni imani yao kubwa kwa Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Rais Dkt. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂 𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻.
Your Ad Spot
Oct 10, 2025
MAMBO YALIVYOPAMBA MOTO KAMPENI ZA DKT.SAMIA BUTIAMA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot







No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇