LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 9, 2025

BUSEGA WAFURAHIA MIRADI LUKUKI YA MIRADI YA DKT. SAMIA


 


Na Richard Mwaikenda, Lamadi, Busega

Wananchi wa Lamadi wilayani Busega, Simiyu wamekiri mbele ya Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuona kwa macho yao miradi mbalimbali ya maendeleo wilayani humo.


‎Wananchi walikiri kuiona miradi hiyo baada ya Dkt. Samia kutumia mtindo wa kuwahoji wananchi kama kweli wanashuhudia kuiona miradi ya afya, maji, elimu, umeme, barabara wilayani humo.


‎Kitendo hicho kilifanyika wakati wa mkutano wa kampeni za CCM  Mjini Lamadi, Wilaya ya BUSEGA, mkoani Simiyu wakati Dkt. Samia aliposimama kuwasalimia na kuwaomba kura akielekea kuanza kampeni mkoani Mara.

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages