LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 2, 2025

ZAIDI YA WAJUMBE 900 WASHIRIKI KUPIGA KURA UCHAGUZI WA WABUNGE KUPITIA MAKUNDI UWT

 

Wanachama wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania (UWT), wakiserebuka wakati wa Mkutano Mkuu Maalumu wa Uchaguzi wa wabunge wa Viti Maalumu kupitia makundi.


Mkutano huo uliohudhuriwa na zaidi ya wajumbe 900 umefunguliwa na Mwenyekiti wa UWT Taifa, Mary Chatanda kwenye Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma Agosti 2, 2025.

Mwenyekiti Chatanda akifungua mkutano huo.


Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara, akisimamia mkutano huo wa uchaguzi.

Shadya Karume Mke wa Rais Mstaafu wa Zanzibar, Amani Abeid Karume akitambulishwa.
Fatma Karume Mjane wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Hayati Abeid Aman Karume.

Wajumbe kutoka mikoa mbalimbali.


Baadhi ya wakuu wa mikoa.




IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MSIMAMIZI MKUU KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages