LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 1, 2025

BENKI YA USHIRIKA YAAHIDI KUTOA HUDUMA KEMKEM KATIKA MAONESHO YA 88 DODOMA


 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Ushirika (COOP BANK), Godfrey Ng'urah akizungumza na waandishi wa habari katika Banda la benki hiyo jijini Dodoma Agosti Mosi, 2025 kuhusu mambo makubwa watakayoyafanya wakati wa Maonesho ya ya Kitaifa na Kimataifa ya NaneNane yaliyofunguliwa na Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango kwenye viwanja vya Nzuguni Dodoma.


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MHARIRI
 BLOG YA TAIFA YA CCM
 0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages