LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jul 26, 2025

MWENYEKITI WA CCM RAIS DK. SAMIA AONGOZA MKUTANO MKUU MAALUM WA CCM, JIJINI DODOMA KIGITALI


Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Mkutano Mkuu Maalum wa Chama hicho uliofanyika kwa njia ya Mtandao katika ukumbi wa mkutano wa NEC (White House) Makao Makuu ya CCM, Jijini Dodoma tarehe 26 Julai, 2025. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimefanya mkutano huo Mkuu kwa  mara ya kwanza kwa njia ya mtandao na kuwakutanisha Wajumbe wote wa Mkutano huo kote nchini.











No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages