Jun 28, 2025

MACHANGE, ZAINABU WACHUKUA FOMU KUWANIA UDIWANI MAKULU, NKUHUNGU

 

Briton Machange mkazi wa Kata ya Makulu Dodoma akipokea fomu kutoka kwa Katibu wa UVCCM Wilaya ya Dodoma Mjini, Mengi Mwakisole za kuomba kuwania udiwani Kata hiyo Juni 28, 2025.

Machange akionesha fomu hiyo.
Zainabu Seif akionesha fomu kuomba kuwania udiwani wa viti maalumu Nkuhungu,Dodoma. 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
0754264203




 

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Pages