Fatuma Yusufu akikabidhiwa fomu na Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Dodoma, Sophia Kibaba za kuomba ridha ya kuteuliwa kugombea ubunge Jimbo la Dodoma Mjini Juni 30, 2025.
Fatuma akisaini tayari kukabidhiwa fomu.
Akipatiwa maelezo jinsi ya kujaza kwenye fomu.
Fatuma akionesha fomu baada ya kukabidhiwa.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇