Mbunge wa Iringa Mjini, Jesca Msambatavangu (kushoto) akifundishwa na Mkurugenzi wa Tanzania AI Community, Essa Mohamedal jinsi ya kutumia Akili Mnemba wakati wa semina hiyo.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Omuka Hub ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalumu kupitia NGOs, Neema Lugangira akielezea kuhusu lengo la semina hiyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC), Kenneth Simbaya akielezea umuhimu wa Akili Mnemba na athari zake na mkakati wa taasisi hiyo kutoa mafunzo kwa waandishi wa habari nchini kuhusu matumizi sahihi ya AI.
Katibu wa Kamati ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Ganjatuni Kilemile.
Tatu Mzee Ally kutoka Ofisi ya Msajili wa Mashirika yasiyo ya KiserikaliWaizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu,
Wakijadiliana kwenye makundi.
Baadhi ya wabunge waliohudhuria mafunzo hayo.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇