Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiwasalimia na kuwapatia pole viongozi wa dini, wakiongozwa na Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Baba Askofu Alex Gehaz Malasusa, wakati wa mazishi ya kitaifa ya Hayati Mzee Cleopa David Msuya, Makamu wa Rais wa Kwanza na Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yaliyoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, katika Kijiji cha Chomvu, Mwanga, mkoani Kilimanjaro, Jumanne, tarehe 13 Mei 2025. Shughuli hiyo ilitanguliwa na ibada ya kumuaga Hayati Msuya iliyofanyika katika Kanisa la KKKT, Kristo Mchungaji Mwema, Usharika wa Usangi Kivindu, Dayosisi ya Mwanga, Jimbo la Kaskazini.
Your Ad Spot
May 14, 2025
POLENI BABA ASKOFU - DKT NCHIMBI
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiwasalimia na kuwapatia pole viongozi wa dini, wakiongozwa na Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Baba Askofu Alex Gehaz Malasusa, wakati wa mazishi ya kitaifa ya Hayati Mzee Cleopa David Msuya, Makamu wa Rais wa Kwanza na Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yaliyoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, katika Kijiji cha Chomvu, Mwanga, mkoani Kilimanjaro, Jumanne, tarehe 13 Mei 2025. Shughuli hiyo ilitanguliwa na ibada ya kumuaga Hayati Msuya iliyofanyika katika Kanisa la KKKT, Kristo Mchungaji Mwema, Usharika wa Usangi Kivindu, Dayosisi ya Mwanga, Jimbo la Kaskazini.
Tags
featured#
Tanzia#
Share This
About CCM Blog INVITEE
Tanzia
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇