Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiwasalimia na kuwapatia pole familia, ndugu na jamaa wa Hayati Mzee Cleopa David Msuya, mara baada ya kuweka mchanga na shada la maua kwenye kaburi wakati wa mazishi ya kitaifa ya Hayati Mzee Msuya, ambaye aliwahi kuwa Makamu wa Rais wa Kwanza na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yaliyoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yalifanyika nyumbani kwake, Kijiji cha Chomvu, Mwanga, mkoani Kilimanjaro, Jumanne, tarehe 13 Mei 2025.
Your Ad Spot
May 14, 2025
POLENI SANA FAMILIA - BALOZI NCHIMBI
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiwasalimia na kuwapatia pole familia, ndugu na jamaa wa Hayati Mzee Cleopa David Msuya, mara baada ya kuweka mchanga na shada la maua kwenye kaburi wakati wa mazishi ya kitaifa ya Hayati Mzee Msuya, ambaye aliwahi kuwa Makamu wa Rais wa Kwanza na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yaliyoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yalifanyika nyumbani kwake, Kijiji cha Chomvu, Mwanga, mkoani Kilimanjaro, Jumanne, tarehe 13 Mei 2025.
Tags
featured#
KIJAMII#
Share This
About CCM Blog INVITEE
KIJAMII
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇