Wabunge wakiwa katika mkutano wa 10, Bunge la 12, kikao cha pili cha Bunge la Bajeti bungeni Dodoma Aprili 9, 2025.
Mbunge wa Gairo, Ahamad Shabiby (kulia) akijadiliana jambo na Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika na Mbunge wa Mpanda Vijijini.
Mbunge wa Mbeya Vijijini ambaye pia Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Oran Njeza akibadilishana mawazo na baadhi ya wabunge.Mbunge wa Moshi Vijijini, Prof. Patrick Ndakidemi akijadiliana jambo na Mbunge wa Kuteuliwa, Shukrani Manya.
Mbunge wa Nyang'wale, Nassor Amar (kulia) wakiangalia jambo kwenye kishikwambi.
Mbunge wa Arumeru Mashariki, Dkt. John Pallangyo, akiuliza swali.
Mbunge wa Moshi Vijijini, Prof. POatrick Ndakidemi akiuliza swali kuitaka serikali kuboresha baabara kuelea Mlima Kilimanjaro.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇