
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Taarifa ya Mwaka ya Utendaji Kazi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo Crispin Chalamila kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo Machi 27, 2025.
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇