LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Feb 25, 2025

WASIRA AFANYA MAZUNGUMZO NA SUMAYE

 

 
Makamu Mwenyekiti  wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) - Bara, Ndg. Stephen Wasira  akiwa kwenye mazungumzo na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mstaafu, Mhe. Frederick Tluway Sumaye, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, jijini Dar Es Salaam, baada ya kiongozi huyo, ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM mstaafu, kumtembelea ofisini kwake, leo Jumanne tarehe 25 Februari 2025.

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages