Mejeneza yenye miili ya watu 16 waliofariki katika ajali ya kuporomoka ghorofa, Kariakoo jijini Dar es Salaam, ikifikishwa na wanajeshi katika Uwanja wa Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuagwa. Uagaji huo uliongozwa na Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa.
Nov 19, 2024
Home
featured
Kitaifa
MIILI YA WALIOFARIKI KWENYE AJALI YA KUPOROMOKA GHOROFA KARIAKOO YAAGWA JIJINI DAR ES SALAAM
MIILI YA WALIOFARIKI KWENYE AJALI YA KUPOROMOKA GHOROFA KARIAKOO YAAGWA JIJINI DAR ES SALAAM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇