LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 10, 2024

TANESCO MORO : MAOMBI YA WANANCHI KUUNGANISHIWA UMEME NI SIKU SABA TU

Na Victor Makinda. Morogoro. 





Adha ya waliyokuwa wakiipata wateja kusubiri muda mrefu baada ya maombi ya kuunganishiwa umeme imefika mwisho mkoani Morogoro.


Meneja  wa  TANESCO mkoa wa Morogoro, Mhandisi Fadhili  Chilombe, amesema kuwa kuanzia sasa mteja ataye wasilisha ombi la kuunganishiwa umeme, itachukua siku saba tu kupatiwa huduma hiyo muhimu.


Mhandisi  Chilombe  ameyasema hayo wakati akizungumza  na waandishi  wa habari mjini Morogoro,  kuelezea wiki ya huduma  kwa wateja na namna TANESCO mkoani humo ilivyojipanga kuboresha huduma. 

Msikilize    https://www.youtube.com/watch?v=bVVf8I24CJM

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages