LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 10, 2024

BALOZI NCHIMBI AZUNGUMZA NA VIONGOZI NA WANACHAMA WA CCM WALAYA YA KAHAMA MKOA WA SHINYANGA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Balozi Emmanuel Nchimbi, akizungumza na viongozi pamoja na wanachama wa CCM wilaya ya Kahama, leo Oktoba 10 2024 akiendelea na ziara ya kuimarisha chama na kuhamasisha wananchi kuhusu kujiandikisha katika daftari la mpiga kura mkoa  wa Shinyanga
Viongozi na wanachama wakifurahia
Katibu wa Itikadi,Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla akizungumza na viongozi pamoja na wanachama wa CCM wilaya ya Kahama mkoa wa shinyanga, leo Oktoba 10 2024 katika ziara ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Balozi Emmanuel Nchimbi
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Balozi Emmanuel Nchimbi akiteta jambo na Katibu wa Itikadi,Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla

 Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Ndugu Rabia Abdalla Hamid akizungumza na viongozi pamoja na wanachama wa CCM wilaya ya Kahama mkoa wa shinyanga, leo Oktoba 10 2024 katika ziara ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Balozi Emmanuel Nchimbi



Usikivu

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages