LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 7, 2024

SAIDA KAROLI AMUONJESHA DK NCHIMBI RADHA YA NGOMA ZAKE

Kikundi cha Msanii Saida Karoli kikitumbuiza wakati wa mkutano wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel Nchimbi na viongozi mbalimbali wa CCM Wilaya ya Biharamulo Agosti 7, 2024.


DK. Nchimbi akiwasalimia viongozi CCM.
DK NCHIMBI akijadiliana jambo na Mkuu wa.Mkoa wa Kagera, Fatma Mwassa.


Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla akiwatambulisha viongozi alioambatana nao Katibu Mkuu, DK. Nchimbi..

 Sehemuya viongozi wa CCM.

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages