LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jul 28, 2024

BALOZI, DK. NCHIMBI AANZA ZIARA MTWARA

 


 Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), DK. Emmanuel Nchimbi anaanza ziara yake katika mikoa ya Mtwara na Lindi yenye lengo la kukagua miradi mbalimbali  ya maendeleo ikiwa ni utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020, kusikiliza na kutatua kero za wananchi, kuhuisha uhai wa Chama.

Ziara hiyo imeanza leo Julai 28, 2024 mkoani Mtwara na kumalizia mkoani Lindi Julai 31, 2024.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages