.Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Emmanuel Nchimbi akimkaribisha kwenye chama hicho Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), Wilaya ya Korogwe, Ndugu Nurdin Bakari, rasmi kbaada ya kutangaza rasmi kukiacha chama chake hicho cha zamani na kujiunga rasmi CCM wakati wa mapokezi ya msafara wa kiongozi huyo eneo la Mombo.
Your Ad Spot
Jun 8, 2024
DK NCHIMBI AMPOKEA KIONGOZI WA CUF ALIYEHAMIA CCM
.Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Emmanuel Nchimbi akimkaribisha kwenye chama hicho Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), Wilaya ya Korogwe, Ndugu Nurdin Bakari, rasmi kbaada ya kutangaza rasmi kukiacha chama chake hicho cha zamani na kujiunga rasmi CCM wakati wa mapokezi ya msafara wa kiongozi huyo eneo la Mombo.
Tags
featured#
habari picha#
Share This
About Blog Updates👇🏻
habari picha
Tags
featured,
habari picha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇