Mbunge wa Bukoba Vijijini ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria ndogo, Dkt Jasson Rweikiza (aliyevaa suti ya kijivu katikati) amewaalika bungeni aliomaliza nao na digrii ya sheria Chuo Kikuu cha Dar es Salaam 1986.
Wasomi wenzie hao ambao baadhi wamewahi kushika nyadhifa mbalimbali nchini, walitambulishwa bungeni na Spika, Dkt Tulia Acksoni Jumanne Juni 4, 2024.
Wakitambulishwa bungeni.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇