Mbunge wa Mchinga mkoani Lindi Mama Salma Kikwete ametembelea jimboni humo kukagua athari za mvua iliyonyesha na kuharibu miundombinu na makazi ya wananchi. Ameahidi kufanyia kazi athari hizo na kuwataka wakazi wa Mchinga kuwa na moyo wa subira wakati changamoto wanayokumbana nayo ikishughulikiwa.
Your Ad Spot
Mar 12, 2024
MBUNGE WA MCHINGA MAMA SALMA KIKWETE AKAGUA ATHARI ZA MVUA JIMBONI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇