Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Tulia Ackson akiwaongoza wabunge 7 kutia saini kwenye kitabu cha kumbukumbu ya maombolezo ya kifo cha aliyewahi kuwa Waziri Mkuu, Hayati Edward Lowassa katika Ukumbi wa Bunge jijini Dodoma Februari 13,2024.
Mbunge wa Viti Maalumu Zainab Swai
Mbunge wa Bukoba Vijijini, Dkt Jasson Rweikiza
Mbunge wa Viti Maalumu, Salome Makamba
Mbunge wa Mlimba, Godwin Kunambi
Mbunge wa Mbagala, Abdallah Chaurembo
Mbunge wa Viti Maalumu, Dkt. Alice Kaijage
Mbunge wa Liwale, Zubeiry Kuchauka
Mbunge wa Msalala, Jumanne Iddi
Mbunge wa Viti Maalumu, Naghenjwa Kaboyoka
Mbunge wa Viti Maalumu, Christine Mzava
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
0754264203
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇