LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Feb 13, 2024

MAKAMU WA RAIS DK. MPANGO AONGOZA KUAGWA MWILI WA LOWASSA KARIMJEE JIJINI DAR ES SALAAM, LEO

Makamu Dk. Philip Mpango akiwa amesimama wakati jeneza lenye mwili wa Waziri Mkuu Mstaafu Edward Ngoyai Lowassa, likiwasilishwa katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya mwili kuagwa, leo Februari 13, 2024. Kulia ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Mwinyi.
Familia ya Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Ngoyai Lowassa, ikiogozwa na mjane wa hayati Lowassa Mama wa Regina Lowassa kwenye kuagawa mwili, katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya mwili kuaga, leo Februari 13, 2024.
Familia ya Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Ngoyai Lowassa, ikiogozwa na mjane wa hayati Lowassa Mama wa Regina Lowassa kwenye kuagawa mwili, katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya mwili kuaga, leo Februari 13, 2024.
Wiongozi na Waombolzaji mbalimbali wakiwa kwenye kuagwa mwili wa Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Ngoyai Lowassa,
Makamu Dk. Philip Mpango akisaini kitabu cha maombolezo.

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages