Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Viongozi mbalimbali wakati wa mazishi ya Kitaifa ya aliyekuwa Rais wa Namibia Marehemu Dkt. Hage Geingob kwenye uwanja wa Michezo wa Uhuru Jijini Windhoek tarehe 24 Februari, 2024. Hayati Rais Geingob alifariki dunia tarehe 04 Februari na anatarajiwa kuzikwa tarehe 25 Februari, 2024 katika Makaburi ya Mashujaa ya Heroes’ AcreJijini Windhoek
Your Ad Spot
Feb 24, 2024
Home
featured
Kitaifa
RAIS DK. SAMIA ASHIRIKI MAZISHI YA ALIYEKUWA RAIS WA NAMIBIA DK.GEINGOB, JIJINI WINDHOEK, LEO
RAIS DK. SAMIA ASHIRIKI MAZISHI YA ALIYEKUWA RAIS WA NAMIBIA DK.GEINGOB, JIJINI WINDHOEK, LEO
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This
About CCM Blog
Kitaifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot







No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇